Kama ulikuwa umewahi kuzisikia story za Nikki kumuandikia Joh Makini mistari leo Nikki mwenyewe kaamua kulizungumzia.
Kutoka kwa Perfect Crispin ambaye ni mtangazaji wa Clouds FM ametusogezea stori hii ya Nikki wa Pili na zingine zinazomhusu Vannessa Mdee kuzungumzia wanawake kubaniana wenyewe kwenye game ya muziki pamoja na story ya Nahreel kutoa ufafanuzi wa suala la Rapper Chin Beez kutopewa Credit baada ya kuandika ngoma ya Navy Kenzo.
Uliisikia ishu ya Nikki wa Pili kumuandikia Mistari Joh Makini? Nikki wa Pili kayazungumza haya

No comments: