Bado headlines za Bunge zinaendelea kutufikiakila kukicha, na May 17 2016 Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano iliwasilisha hotuba yake ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 Kazi iliyofanywa na Waziri wake Makame Mbarawa.
Katika michango ya bajeti nakukutanisha na Mbunge wa Kilwa Kusini Suleiman Bungara maarufu kwa jina la ‘Bwege‘ ambaye mara nyingi husifika kwa style yake ya kuchekesh wakati wa kuongea alipopata nafasi ya kuchangia alikuwa na haya..
Home
»
HABARI NEW
» VIDEO: Cheka kidogo na huyu Mbunge anayejiita ‘Bwege’ na hivi vituko vyake Bungeni
Topics: HABARI NEW
About Unknown
Hi there! I am Hung Duy and I am a true enthusiast in the areas of SEO and web design. In my personal life I spend time on photography, mountain climbing, snorkeling and dirt bike riding.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Social Icons
VIDEOS
Popular Posts
-
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye a...
No comments: