Agness Marwa ni mbunge viti maalum CCM ambaye hivi karibuni ametembea sana kwenye Whatsapp za watu na mitandao mingine ya kijamii kupitia video yake akisema anatamani kulia na anasikia uchungu wakati akichangia kwenye hotuba ya wizara ya habari utamaduni, sanaa na michezo katika bunge la 11.
Kwenye hizo dakika alizungumzia pia ishu ya bunge kutorushwa live, baada ya hapo AyoTV imempata kwenye Exclusive Interview kujua mengine kutoka kwake, tazama kwa kubonyeza play hapa chini.
Topics: HABARI NEW
About Unknown
Hi there! I am Hung Duy and I am a true enthusiast in the areas of SEO and web design. In my personal life I spend time on photography, mountain climbing, snorkeling and dirt bike riding.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Social Icons
VIDEOS
Popular Posts
-
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye a...
No comments: